TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

G-Eazy Avunja Mkataba Na H&M Baada Ya Picha Ya Ubaguzi Japo Kwa Upande Wake Ni Mtu Mweupe

Baada ya Kampuni hiyo kuomba radhi siku ya January 9 kwa picha ya Ubaguzi na The Weeknd kujiondoa katika kampuni hiyo,Right now kuna Headlines za G-Eazy kujiondoa katika kampuni hiyo japokuwa G-EAZY ni mzungu bt wengi wao wanamchukulia ni mzungu mwenye harakati za watu weusi cs anafanya muziki wa Hip Hop

Kupitia accouny ya Instagram ya Hit Maker wa No Limit ameandika,"Nlikuwa na mchakato wa kutoa product yangu tukiwa pamoja na H&M na baada ya kuona  disturbing image jana mchakato huo ukapotea kabisa na nimeamua kuanzia wakati huu kumaliza mahusiano pamoja nao."

Hayo ni baadhi ya aliyoyaandika G-Eazy katika account yake ya Instagram bt unaweza ukaona full post na picha aliyoweka hapo chini.
Over the past months I was genuinely excited about launching my upcoming line and collaboration with @HM... Unfortunately, after seeing the disturbing image yesterday, my excitement over our global campaign quickly evaporated, and I've decided at this time our partnership needs to end. Whether an oblivious oversight or not, it's truly sad and disturbing that in 2018, something so racially and culturally insensitive could pass by the eyes of so many (stylist, photographer, creative and marketing teams) and be deemed acceptable. I can't allow for my name and brand to be associated with a company that could let this happen. I hope that this situation will serve as the wake up call that H&M and other companies need to get on track and become racially and culturally aware, as well as more diverse at every level.
A post shared by G-Eazy (@g_eazy) on


EmoticonEmoticon