June 8 Rapper Jay Z alionekana Kingston Jamaica na ali report mahali alipozaliwa Bob Marley Trench Town na Damian Marley.
Jay Z alipiga picha katika studio za Bob Marley Tuff Gong akiwa na Damian pamoja na dada yake Nancy.
But taarifa au tetesi zinasema kwamba Jay Z amekwenda huko kwaajilu ya Collbo au atakuwa amekwenda huko kwaajili ya maandalizi yake ya Album bt taarifa hizo bado hazina uthibitisho.
Kwa upande mwingine kuonyesha kuwa safari hiyo ilikuwa ni ya kibiashara ni kwamba Beyonce pamoja na mwanaye Ivy hawakuwepo Jamaica
Baadhi ya Picha na Video zilizosambaa akiwepo Jamaica
Jay Z leaving his hotel in Kingston.— JAY Z Daily (@JAY_Z_Daily) June 9, 2017
Audi Jamaica gave Hov a brand new 2017 Audi Q7 SUV to drive around. pic.twitter.com/obAFuIeSoi
Hov x Jr. Gong at Tuff Gong pic.twitter.com/d1oXv1TQd9— JAY Z Daily (@JAY_Z_Daily) June 9, 2017
Jay Z x Damian Marley in Trench Town, Kingston. - 06/09 pic.twitter.com/kgVeIDnnOc— JAY Z Daily (@JAY_Z_Daily) June 10, 2017
Fav was having a blast in 🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲 pic.twitter.com/EzbCGwzdqs— 13th (@Jesse_hov) June 10, 2017
EmoticonEmoticon