TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Safaree Atoa Maneno 5 Kwa Meek Mill

Ex wa Nicki Minaj, Safaree ameendlea bado kumtusi Meek Mill kwa kile kilichotokea katika BET Weekend June 23 ambapo alitembezewa kipigo na Crew Ya Meek Mill.

Safaree amefunguka maneno 5 kwa Meek Mill wakati akiwa anafanyiwa mahojiano na HipHopDX na kusema kwamba ,Fuck him,“He’s a coward.” 

Kuhusiana na Meek Mill alishafunguka kupitia TMZ na kusema kwamba hajui kama angehusishwa na tukio hilo la kipuuzi

TAZAMA VIDEO
A post shared by HipHopDX (@hiphopdx) on


EmoticonEmoticon