Mbunge na msanii Prof Jay alikuwa katika kusheherekea harusi yake ambayo ilihudhuriwa na watu mbali mbali ikiwemo baadhi ya viongozi wa serikali.
Diamond Platnumz alikuwa mmoja kati ya wageni waalikwa bt aliingia kama Surprise ukumbini bila watu kujua kuhusiana kwamba Diamond ataingia ukumbini hapo na kuwafanya watu kusahau kinachoendelea na kuanza kumshangaa na kupiga naye picha huku akiendelea kutumbuiza
Nimekuwekea full video toka akiwa anaingia mlangoni mpaka ukumbini.Enjoy
TAZAMA FULL VIDEO
EmoticonEmoticon