Msanii Ommy Dimpoz amejiunga na Label mpya Rockstar400 ambayo itakuwa inamsimamia katika kazi zake za muziki, na katika Label hiyo yupo na msanii mwenzake wa Tanzania Alikiba.
Eclusive nyimbo baada ya kujiunga ameitoa inayojulikana kwa jina la Cheche ambayo kazi yake hiyo pia imesimamiwa na Label hiyo
DOWNLOAD
TAZAMA FULL PICHA
EmoticonEmoticon