TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Eminem Amepongezwa Na Riaa Baada Ya Kuvunja Record Ya Mauzo Makubwa Ya Ngoma Zake

Rapper Eminem amepongezwa na Recording Industry Association of America (RIAA) kuwa msanii aliyeuza zaidi  ya kopi milioni 100(Diamond certification) za nyimbo zake 3.


RIAA Wametangaza rekodi hii baada ya wimbo wa “Lose Yourself” kufikia kopi Milioni 10(Diamond Certification), huku colabo yake na RihannaLove the Way You Lie” ikiwa na mauzo ya kopi Milioni 12(Diamond certification) na “Not Afraid10 Million (Diamond certification).

Kupitia account yao ya Twitter  RIAA wameandika,"Congratulations to @Eminem! 107.5 million song awards. Three Diamond Songs. #RIAATopCertified bit.ly/RIAATopDigital"
Eminem sasa ameuza kopi Milioni 107.5 na kuvunja rekodi ya Taylor Swift ya kopi Milioni 106.5 huku Rihanna akiongoza kwa kuwa na mauzo ya kopi za nyimbo Milioni 121. 


EmoticonEmoticon