TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Cardi B Ametangaza Tarehe Ya Kuachia Album (VIDEO)

Baada ya mafanikio makubwa ya ngoma yake ya Bodak Yellow ambayo inashikilia nafasi ya 3 katika chart kubwa za Billboard na mpaka now imeshafanikiwa kufikia mauzo ya Gold According to RIAA,Right now Cardi B ameongelea Album yake.
Cardi B akiwa katika Performance huko Philadelphia  weekend hii,alitangaza tarehe ya kuja kwa Album yake,Thank you everybody, it was fun,Let me remind you, I’m dropping my album in October. Bye!”Alitangaza Cardi B

Tazama video hapo chini.


EmoticonEmoticon