TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Floyd Myweather Afunguka Hata Akipewa Dola Million 400 Hatoingia Ulingoni Tena (VIDEO)

Mpiganaji Floyd baada ya kushinda pigano lake la mwisho,amefunguka na baada ya kuulizwa ikitokea akiambiwa kuna dola million 300,400 aingie tena ulingoni,ataingia?kwasababu kipindi cha nyuma alikuwa ametangaza kustaafu lakini baada ya kusikia kiwango cha pesa akaingia uwanjani.

Floyd alijibu swali hilo kwa kusema, “Hili ndyo pambano langu la mwisho Ladies & Gentlemen,For Sure usiku wa leo hili ndyo pambano langu la mwisho”.

Unaweza kutazama kipande cha video hapo chini akifunguka


EmoticonEmoticon