TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Hili Ndyo Jina La Ngoma Atakayofanya Drake Kwenye Album Ya Dj Khaled Na Tarehe Kamili Ya Kutoka

Now tunategemea kuipata Album ya Dj Khaled ya Grateful ambayo ieshamoka kama ngoma 2 humo ndani lakini pia baadhi ya watu tumeshaona picha zao kuwa watashiriki katika hiyo Album.

Kupitia Dj Khaled mwenyewe ameshathibitisha kutoka kwa ngoma ya kwake na Drake ambayo itapatikana kwenye hiyo Album.
Ngoma tayari Cover limeshatoka ambalo linamwonyesha mtoto wa Dj Khaled (ASAHD) na itaitwa jina la To The Max ambayo itatoka June 5 mwaka huu.

Tazama Video hapo chini


EmoticonEmoticon