TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Dj Khaled Amemuongeza Star Huyu Wa Kike Katika Album Yake Mpya Ya Grateful

Baada ya I'M The One ya Dj Khaled kufanya powa pamoja na aliowashirikisha,Dj Khaled ameamua kumuongeza Star huyu wa kike katika list ya watakaoshiriki katika Album yake ya Grateful 

Kupitia Account yake ya Instagram amemtangaza Rihanna kuwa atakuwa katika  Album yake hiyo kwa kuandika,"THEY🚷 SAID KHALED CANT GET @badgalriri Vocals !Tell THEY🚷 I SAID HI πŸ‘‹ !!!!! @badgalriri VOCALS IS IN !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!l GOD IS THE GREATEST !!!!!!!!!!!!!!!! #FANLUV!!! Release date for #GRATEFUL SOON COME !! Real soon!!! @wethebestmusic@rocnation @epicrecords !!!!!!! πŸ™πŸ½πŸ”‘πŸŒΊπŸ¦πŸ™πŸ½ #BEREADY!!"

Hii ni baada ya Kuwatangaza Drake,Future na wengine katika shoo ya The Cruz ya kituo cha Redio Power 106 


EmoticonEmoticon