Yemi Alade amefanikiwa kuingia katika Deal ya ubalozi na kinywaji kikubwa cha Luc Belaire ambacho kimekuzwa jina na mastaa wakubwa kwa upande wa International akiwemo Rick Ross na wengine bt kwa upande wa Bongo ni Diamond Platnumz na wengine.

Yemi Alade amefunguka na kusema kwamba,"Nimekuwa shabiki mkubwa sana Belaireβs βSelf Made Tastes Betterβ toka mwanzo, na nlipoambiwa ntakuwa mmoja kati ya wanaotaka kufanya campaign na ku share story ya mafanikio yangu,nlipaswa kusema ndiyo, Like Belaire.I always believed in championing independence and breaking conventions.Iβm excited kufanya kazi na brand hii na ku share mtazamo wangu, na pia ntaangalia mbele kutoa video yangu ya mahojiano.Nitapost #SelfMadeWoman messages kwa mashabiki zangu, na kuwatia moyo wanawake dunia nzima tuungane."
Yemi Alade ame share furaha yake ya ubalozi katika account yake ya Instagram na kuandika,"#HAPPYINTERNATIONALWOMENSDAY
#SelfMadeWoman with #BELAIRE πππ Encourages women all over the world to unite! πͺπ½πͺπ½πͺπ½
πΈ @michaeltubescreations
#BLACKBOTTLES "
Post Nyingine pia ameandika,"#HAPPYINTERNATIONALWOMENSDAY
#SelfMadeWoman with #BELAIRE πππ Encourages women all over the
world to unite! πͺπ½πͺπ½πͺπ½
πΈ @michaeltubescreations
#BLACKMAGIC
#YEMIALADE"
EmoticonEmoticon