Mtandao wa Snapchat umeomba radhi baada ya kukosea na kutumia ugomvi wa mwaka 2009 wa Chris Brown na Rihanna kwenye tangazo lao la Promising “Impossible Choices,” the “Would You Rather?” ambalo lilikuwa likiuliza mashabiki kama Je wangependa kumpiga kofi Rihanna ? au kumpiga ngumi Chris Brown ?.
Wanaharakati wa haki za wanawake wameona tangazo hili kama udhalilishaji kwa mwanamke mwenzao Rihanna kwa kutumia kitendo alichofanya Chris Brown kama kituko kwenye mtandao wa Snapchat.
I know that social media ads go through an approval process from the platform.— Brittany Packnett (@MsPackyetti) March 12, 2018
This means @Snapchat approved an ad that makes light of domestic violence.
The update ain’t the only thing that’s wack over there, friends. https://t.co/PmbJn4zCel
Tangazo hilo limefutwa na mtandao huo Snapchat wameomba radhi kwa kitendo hicho.Just awful. Awful that anyone thinks this is funny. Awful that anyone thinks this is appropriate. Awful that any company would approve this. Thank you Brittany for calling this out.— Chelsea Clinton (@ChelseaClinton) March 12, 2018
EmoticonEmoticon