TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Album Mpya Ya Burna Boy Yashika Nafasi Ya 3 Katika Chart Za Billboard

Album ya Burna Boy "Outside" iliyotoka January 26 mwaka huu,imefanikiwa kuingia katika chart za
Billboard na kukamata nafasi ya 3 kwenye Category ya Reggae Albums,ambayo album hiyo imecontain ngoma 13.

Hii ni Album ya pili ya Burna Boy kukamata chart za Billboard ambapo ya kwanza inayoitwa  L.I.F.E ilifanikiwa kukamata nafasi ya 7 ambapo ilitoka mwaka 2013


EmoticonEmoticon