TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Lijue Jambo Muhimu Alilofunguka Selena Gomez (AUDIO)

Its been a while toka mwanadada anayeshikilia List Ya Instagram Selena Gomez kusema kwamba tusubiria Album kutoka kwake na hatua hiyo ikiwa ni baada tu ya kumaliza matibabu yake ya figo.

Right now kuna headlines ambazo amefunguka kuhusiana na Album yake kudondoka na hii ikiwa ni baada ya kufunguka kwenye cm na kuhusiana na mambo mengi ya music last month.

Selena amesema, “Kuna Album na watu wajue kwa mwaka huu nlikuwa naiandika,moyo wangu na mawazo yangu nimeweka kwenye muziki na sijali kuhusiana na chart, ni namba tu,ninachojali ni nitactreate kitu gani kwenye muziki wangu,nimeifanya zaidi ya mwaka na napenda kuwa surprise mashabiki wangu cs na create eneo lipya la muziki wangu,nlikuwa out kidogo naangalia afya yangu na Right now nimerudi na nipo hapa kuongelea Album


Hayo ni baadhi ya aliyoyaongea Selena Gomez bt ndani ya maongezi aliweza kusema kwamba mashabiki wategemee ujio wake wa Album soon na possible uwezekano wa kupokea Album utakuwa ni Next Year 2018.


But kupitia account yake ya Instagram ameandika, “Currently. Until the next year. Here’s where I’ll be  
A post shared by Selena Gomez (@selenagomez) on


EmoticonEmoticon