Female Rapper Remy Ma asaini mkataba mkubwa na lebo ya Columbia Records na imeripotiwa kuwa anajipanga kutoa Diss nyingine kwa Nicki Minaj atakayo mshirikisha Lil Kim.
Baada ya mashairi yanayomlenda Nicki Minaj ni pamoja na “That crown, I’m gon’ take that shit / ‘Cause you a clown and homie don’t play that shit.”
Mistari hii ina DISS mahusiano ya Nicki Minaj na Nas “I heard he lay that dick, You let them filet that fish / You just met him, how he bae that quick?”
Tayari Remy na Nicki wameshabadilishana maneno kupitia Diss track zao “shETHER,” “Another One,” na “No Frauds.”
Cover ya Ngoma yao na Kim mpaka right now imeshatoka na ameweka katika account yake ya Instagram na kuandika,"#WakeMeUp coming soon: remymamusic.com"
EmoticonEmoticon