TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

The Weeknd Abadilisha Ratiba Za Tour Yake Kwasababu Ya Ugonjwa Wa Selena Gomez

Msanii The Weeknd ameamua kubadilisha ratiba za Performance ya Tour yake ya Starboy: Legend of the Fall Tour” kwa sababu ya ugonjwa alionao rafiki/Girlfriend wake Selena Gomez ambaye ni mgonjwa na anategemea kufanyiwa operation ya kupandikizwa figo.

Kupitia chanzo cha habari People kimeripoti kuwa mtu wa karibu amesema kwamba Abel ameamua kufanya hivyo juu ya matibabu ya ghafla na ni serous operation na yeye pamoja na marafiki zake wana wasi wasi juu ya hilo.

Selena Gomezi amethibitisha kufanyiwa upasuaji huo katika account yake ya Instagram na amesaidiwa na rafiki yake wa karibu Francia Raisa aliyejitolea gift hiyo ya kumpa figo.

Selena ameandika,"Najua mashabiki wangu mlishanga kwanini sija Promote sana muziki wangu hapa kati kama ambavyo nafanyaga, niligundua kuwa nilihitaji upasuaji wa Figo sababu ya tatizo la Lupus na nilipumzika ili niwe sawa"

TAZAMA POST YENYE PICHA 3
I’m very aware some of my fans had noticed I was laying low for part of the summer and questioning why I wasn’t promoting my new music, which I was extremely proud of. So I found out I needed to get a kidney transplant due to my Lupus and was recovering. It was what I needed to do for my overall health. I honestly look forward to sharing with you, soon my journey through these past several months as I have always wanted to do with you. Until then I want to publicly thank my family and incredible team of doctors for everything they have done for me prior to and post-surgery. And finally, there aren’t words to describe how I can possibly thank my beautiful friend Francia Raisa. She gave me the ultimate gift and sacrifice by donating her kidney to me. I am incredibly blessed. I love you so much sis. Lupus continues to be very misunderstood but progress is being made. For more information regarding Lupus please go to the Lupus Research Alliance website: www.lupusresearch.org/ -by grace through faith
A post shared by Selena Gomez (@selenagomez) on

Ngoma ya mwisho ya Selena Gomez ambayo inafanya powa mpaka now ni ngoma ya Fetish akiwa na Rapper Gucci Mane 


EmoticonEmoticon