Msanii Tekno anayefanya powa na video yake ya Go,Amefunguka kuhusiana na Album yake ambayo inakuja baada ya kimya cha kutoa mzigo mkubwa kwa muda mrefu.
Kupitia mtandao wa Instagram Tekno ametumia mtandao wa Instagram kutangaza album yake ijayo ambayo inakwenda kwa jina la ‘Teenage Dreams‘ ambayo ita Land ndani ya mwaka huu.
Tekno ana ngoma kali zinazofanya powa zikiwemo, Pana, Diana, Rara, Yawa, Samantha na latest ngoma inayofanya powa right Now ambayo ni GO
TAZAMA VIDEO HAPA
My Debut Album is titled 'Teenage Dreams' - @alhajitekno pic.twitter.com/QYQVJKaDUD— Mulla Star (@mullastar255) August 8, 2017
EmoticonEmoticon