TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Mtoto Wa T.I Afwata Nyendo Za Baba Yake Katika Rap Game


Mtoto wa Rapper T.I ambaye anajulikana kwa jina la Doman Harris mwenye umri wa miaka 16 anafwata nyendo za baba yake katika game ya muziki wa Rap kwani naye pia anao ujio mpya wa video yake iliyotoka August 17 inayokwenda kwa jina la Wake Up Call

Doman Harris ameweza kufunguka akiwa anafanyiwa mahojiano na XXL Magazine na kuhususiana na nyimbo yake hiyo na kusema kwamba,"Katika video yangu hiyo nataka kutoka na kuwa connected na watu tofauti,nataka kuwaonyesha watu vitu tofauti na wanavyofiikiri"


Aliendelea kufunguka kuhusiana na project yake ijayo,"Ndyo nimeanza kufanyia kazi project yangu ijayo na hii ilikuwa kama challenge kwangu mwenyewe na kuwapa watu ili wawe connected na mimi kama msanii"Alimaliza kwa kuiambia XXL Mag

Mtoto wa T.I ni mwigizaji pia na ameionekana katika series ya T.I & Tiny na pia right now yupo kwenye harakati za muziki na ameshafanya ngoma nyingine ambayo ilikwenda kwa jina la For You.Chukua time kuitazama video yake mpya ya Wake Up Call Hapo chini.Enjoy

TAZAMA VIDEO HAPA


EmoticonEmoticon