Msanii Dj Khaled anayefanya powa na Album yake ya Grateful kwenye chart za Billboard kwa kukamata nafasi ya 3.Right now kuna Headlines ambazo amefunguka kupitia Hot 100 Fest kuhusiana na wasanii anaotamani kufanya nao kazi.
Wasanii 3 anaotamani kufanya nao kazi ni
DR.DRE
EMINEM
ADELE
TAZAMA AKIFUNGUKA HAPA
EmoticonEmoticon