TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fashion. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fashion. Onyesha machapisho yote

WEKA NYIMBO YAKO KWENYE GOOGLE/INTERNET HAPA.

  1. Tuma Cover Pamoja na Nyimbo(Official Audio)kupitia sehemu zifuata;


  • Email:thedruidboy@gmail.com(hakikisha email ni herufi zote ni ndogo hata ya kwanza)
  • Whatsapp:0714-489394
      2. Gharama za kuweka nyimbo kwenye Internet(mtandaoni)kupitia Site ya Mullastar;
  • AUDIO: Tsh 20,000 Nyimbo 1/Kwa Album Tsh 10,000 Nyimbo Kwa wimbo 1.

     2. Endapo utahitaji nyimbo yako iweze kuuzwa pia kupitia Mullastar,Jambo hilo litawezekana endapo nyimbo yako itakuwa katika Platform za Tanzania za kuuzia muziki ambazo ni, WASAFI.COM pamoja na MKITO.COM

NOTE:Malalamishi yoyote yatakayowasilishwa kuhusiana na nyimbo ambayo sio haki ya mtu aliyeiwakilisha,Itafutwa ndani ya masaa 24 kama aliyeiwakilisha hatojibu malalamishi.

Kwa Maelezo zaidi Piga.0714-489394.

Beats By Dre Pamoja Na Kampuni Kubwa Ya Fashion Balmain Wameuleta Mzigo Mpya Huu

Kampuni kubwa ya Beats By Dre kwa kuunganika na Kampuni nyingine ya Fashion Balmain imekuletea muunganiko wa biashara yao kupitia Headphones mpya za Beats by Dre and Balmain.

Headphones pamoja na Eye phones hizo anazozitangaza Kylie Jenner right now zimezinduliwa na zina rangi ya Gold na pia unaweza kuzipata kupitia Apple.com pamoja na Bailmain.com katika store zilizopo New York na L.A.
Papers zinazogharimu kuushika mzigo ambpo kwa Beats Studio Wireless headphones  ni Dolla $ $599.95 ambazo kwa kibongo ni kama Sh.Million 1,343,288.05 bt kwa Upande wa Eye phones Powerbeats3 Wireless ni Dola $249.95 ambazo kwa pesa za kibongo ni kama Sh.Laki 559,688.04

TAZAMA PICHA HAPO CHINI









Angalia Mzigo Mpya Wa Air Jordan 13 Retro.Time To Switch Now


From Air Jordan Flight Club nimekuletea Sneaker mpya ambayo ime make headline sana kwenye mtandao na watu wametokea kuipenda sana Brand ya Jordan kwa Sneaker za ukweli na wajanja wanatokelezea.

Air Jordan wameiachia hii sneaker mpya inayojulikana kwa jina la Air Jordan 13 Retro "Alternate".Ambayo inapatikana kupitia official page yao kwa Papers kama $200 ambazo kwa Paper za kibongo ni kama Laki 447,400.

So Kama wewe ni mpenz wa ku switch hapa Town kwa mitupio ya aina hiyo!!!.Done Deal.Enjoy Pic Below