TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Alichokiandkia Diamond Platnuzm Baada Ya Kuwapiga Davido, Wizkd Na Wengine Chini Kwa Record Kubwa Youtube

Diamond Platnumz ambaye kila kukicha anaendelea kuweka rekodi kwenye muziki wake na awamu hii sio views wa kwenye mtandao wa YouTube bali ni Subscribers.
Diamond kwenye akaunti yake ya YouTube tayari amefikisha Subscribers milioni 1+ na kuwa msanii wa muziki wa 8 barani Afrika kuwa na Subscribers zaidi ya milioni 1.
Kwa sasa Diamond Platnumz ameungana na wasanii kama Amr Diab kutoka Misri mwenye Subscribers milioni 1.6, Kundi la muziki la Die Antiwoord kutoka Afrika Kusini subscribers milioni 1.8, Dzjoker Chemsou milioni 1.6, Lartiste milioni 2.2, Ilias Tiiw milioni 1.8, Sofia Carlsberg milioni 1.8 .
Kwa upande wa wasanii wengine kutoka Afrika kama Davido, Wizkid, Yemi Alade, Tiwa Savage, Sarkodie, Alikiba na Cassper Nyovest wote bado hawajafikisha Subscribers milioni 1 ingawaje hao wanatumia mtandao wa VEVO.
Alichokiandika Diamond Platnumz katika account yake ya Instagram baada ya kuona goodnews hiyo ni,"1 MILLION SUBSCRIBERS ON MY YOUTUBE CHANNEL..... THANK YOU SO MUCH MY PEOPLE!!!🔥🔥🔥 #ABoyFromTandale"


EmoticonEmoticon