TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Yemi Alade Akanusha Tetesi Za Kuandikiwa Nyimbo (VIDEO)

Baada ya mafanikio ya Album yake Black Magic katika mtandao wa Spotfy,
Yemi alade amefunguka juu ya tetesi zinazosema kwamba anaandikiwa nyimbo na producer Selebobo.

Kupitia mahojiano Yemi Alade amefunguka na kusema, Selebobo does not write my songs.”

Tazama Video  
A post shared by HipTv (@officialhiptv) on


EmoticonEmoticon