Msanii toka Nigeria Davido ameonyesha furaha yake katika mitandao yake ya kijamii baada ya ngoma zake 2 IF na Fall kufikia mauzo makubwa ambapo ngoma hizo zilitokea kupendwa sana kipindi zilipotoka.
Ngoma ya IF imefanikiwa kufikia mauzo ya Diamond(10,000,000) na Ngoma ya FALL ikafanikiwa kufikia mauzo ya Platinum(1,000,000)
Kupitia account yake ya Instagram ameweka picha yake huku akiwa ameshikilia tuzo na caption ambayo ilikuwa ikionyesha mauzo ya nyimbo hizo na kuwashukuru mashabiki.
Ngoma hizo katika mtandao wa Youtube,IF ina Views Millon 60 huku FALL ina Views Million 51
Davido ameandika,"βIFβ Is officially Diamond and βFALLβ is officially Platinum in sales!!! My πβs finallly came in as well! GOD IS REAL!! πππ! Thank you Guys for making this happen!! β€οΈπ just gettin started!!! Bless to my team @efe_one @asaasika @missamadi@sirbanko @lt_ddonβ‘οΈ"
EmoticonEmoticon