TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Dj Khaled Yupo Tayari Kwa Album Mwaka Huu & Ngoma Mpya.Full Details Hapa (VIDEO)

Dj Khaled yupo tayari kwa kuachia ngoma ya kwanza kwa mwaka 2018 na kuikaribisha Album yake ya 11 kwa mwaka 2018.


Official Announcement ya Jina la Album ya 11, litatoka siku ya Ijumaa March 2 na kuna uwezekano pia jina likasindikizwa na ngoma,

Kupitia account ya Instagram Dj Khaled ameweka video na caaption nayosomeka,"👀#BEREADYALERT🚨
FAN LUV FRIDAY ! NEW SINGLE ALERT 🚨 
Feat ??? ALSO I WILL LET THE WORLD KNOW MY 11 studio ALBUM TITLE ! @wethebestmusic @rocnation@epicrecords 🙏🏽🔑🙏🏽
GOD IS THE GREATEST!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"


Haijajulikana katika ngoma hiyo atakuwa amemshirikisha nani bt way back kuna mastaa amepiga nao pich na  hatujaona kazi zao ambao ni Diddy, Jennifer Lopez, Busta Rhymes, Fabolous, Big Sean, na Lil Pump

Album 10 za nyuma za Dj Khaled ni
2006 - (Listen… the Album
2007 - (We the Best) 
2008 - (We Global) 
2010 - (Victory
2011 - (We the Best Forever)
2012 -  (Kiss the Ring
2013 -  (Suffering From Success)
2015 - ( I Changed a Lot

2016 - ( Major Key)Imekuwa na mafanikio makubwa baada ya kukamata nafasi ya kwanza Billboard 200

2017 - (Gratefulmekuwa na mafanikio makubwa baada ya kukamata nafasi ya kwanza Billboard 200



EmoticonEmoticon