TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Chris Brown Apendekeza Ziara Ya Muziki Na Mastaa Hawa.Jiulize Hiyo Tour Itaingiza Mtonyo Kiasi Gani!!!!???

Chris Brown is plotting the tour of his dreams.

Msanii Chris Brown amependekeza Tour ya muziki na wasanii wakali 3 ambao ni Beyonce, Rihanna, Bruno Mars.

Kupitia account yake ya Twitter ameandika,"Just thinking.... A CRAZY WORLD TOUR would BEYONCE, RIHANNA, BRUNO MARS, CHRIS BROWN. “2 for 2”. And if y’all decide to do it without me... give me 10%. 😏
Kati ya mastar aliowataja wana mafanikio makubwa sana katika Tour zao akiwemo Beyonce Formation World Tour,Bruno Mars 24K Magic World Tour,”  Rihanna Anti World Tour,  na  Breezy The Party Tour.

Wengi wamejiuliza kama wote wakikubaliana na Tour hiyo,Ni Mtonyo Kiasi gani wataingiza na Huo Ukumbi(Uwanja)utafurika namna gani.

Keep In-Touch 


EmoticonEmoticon