TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Muonekano Mpya Wa Kupungua Wa Young MA Baada Ya Kuacha Baadhi Ya Vyakula Na Kuingia Gym (PICHA)

Female Rapper Young MA ameconfirm taarifa zilizokuwa zimeenea za watu kusema kuwa amepungua uzito right now sio kama hapo awali.

Kupitia account yake ya Instagram ambayo right now amebadili jina na anatumia @youngma amesema kwamba, "Kwa wale wote mnaendeleakusema nimepungua uzito,ndiyo nimepungua na nimeacha kula vyakula vya nyama,(beef, pork, chicken, turkey, lamb...) na pia nimekuwa Gym nikifanya mazoezi ya kupunguza uzito kwa muda wa miezi 2".Ni baadhi ya Aliyoandika MA kwenye account yake ya Instagram.

Tazama Picha na Post Aliyoandika Chini Kabisa



POST YA MA KATIKA INSTAGRAM
To all my supporters that keep saying I lost weight.. yes it was on purpose lol I’ve stop eating meat (beef, pork, chicken, turkey, lamb...) I cut my liquor intake into “occasionally only” lol.. I’ve been in the gym consistently... and I’ve been watching my calorie intake.. it was discipline for me of course. In 2 months I’ve dropped 20 pounds.. Always wanted to change my diet but wasn’t mentally ready for it at first.. Honestly since I’ve changed my diet I’ve been less exhausted.. I wake up with full energy.. and also mentally I feel good... I just want to say to all my supporters if you are not happy with anything in your life you have the power to change it! Only you! I love you all! God bless! More music on the way btw! Let’s get it! 😤💪🏽 #2018 #YoungMA #🔴Lyfe
A post shared by Young M.A Official (@youngma) on


EmoticonEmoticon