TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Album Mpya Ya Davido Soon Itakuwa Sokoni

Msanii toka Nigeria Davido baada ya kufanya powa na Album yake ya Son Of Mercy,Right now kuna Headlines kwamba anataka adondoshe mzigo mwingine wa Album Sokoni.

Kupitia Snap chart Davido amewaonyesha mashabiki album yake hiyo ambayo ngoma kadhaa zimeshatoka ikiwemo,Pere ,If na Fall

Mpaka sasa Album hiyo tayari imekwishakamilika na ita Land ndani ya mwaka huu
@Mullastar255



EmoticonEmoticon