TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Technology. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Technology. Onyesha machapisho yote

WEKA NYIMBO YAKO KWENYE GOOGLE/INTERNET HAPA.

  1. Tuma Cover Pamoja na Nyimbo(Official Audio)kupitia sehemu zifuata;


  • Email:thedruidboy@gmail.com(hakikisha email ni herufi zote ni ndogo hata ya kwanza)
  • Whatsapp:0714-489394
      2. Gharama za kuweka nyimbo kwenye Internet(mtandaoni)kupitia Site ya Mullastar;
  • AUDIO: Tsh 20,000 Nyimbo 1/Kwa Album Tsh 10,000 Nyimbo Kwa wimbo 1.

     2. Endapo utahitaji nyimbo yako iweze kuuzwa pia kupitia Mullastar,Jambo hilo litawezekana endapo nyimbo yako itakuwa katika Platform za Tanzania za kuuzia muziki ambazo ni, WASAFI.COM pamoja na MKITO.COM

NOTE:Malalamishi yoyote yatakayowasilishwa kuhusiana na nyimbo ambayo sio haki ya mtu aliyeiwakilisha,Itafutwa ndani ya masaa 24 kama aliyeiwakilisha hatojibu malalamishi.

Kwa Maelezo zaidi Piga.0714-489394.

Apple Yazindua Simu 3 Mpya (Iphone 8,Iphone 8+ & Iphone X) PICHA & VIDEO

Kampuni ya Apple imezindua simu mpya aina ya iPhone X ambayo hutumia utambulisho wa uso wako badala ya kidole kufunguka.
Apple imesema kuwa simu hiyo inayojulikana kama Iphone 10 pia inaweza kutumia utambulisho huo wa uso nyakati za usiku kufunguka na kwamba ni vigumu kuidanganya ikilinganishwa na mfumo wa kutumia kidole.
Ndio simu ghali zaidi kuzinduliwa na Apple.
Ikiwa na ukubwa wa kuhifadhi Gigabait 64 simu hiyo itagharimu £999 nchini Uingereza wakati itakapoanza kuuzwa rasmi mnamo mwezi Novemba tarehe 3.
Simu yenye ukubwa wa kuhifadhi Gigabait 256 itauzwa kwa £256 nchini Uingereza.
Simu hiyo ina uwezo wa kuchajiwa kwa Wirless kwa Glass iliyopo nyuma inayoiwezesha kujaa chaji mapema.
Haina uwezo wa kuingia maji wala vumbi
Ime designiwa kwa glass maalum ambayo itakuwa ni vigumu kupasuka kwa urahisi
Uwezo mkubwa wa Camera ambao unaifanya ni simu ya kwanza kutoka ikiwa na ubora mzuri na mkubwa wa camera zenye kutoa HD kuliko simu yoyote nyingine.
Uwezo mkubwa wa kucheza game bila tatizo 
Unaweza kuchaji vifaa 3 vya simu hiyo kama,saa,earphones pamoja na cm hiyo kwa njia ya wireless bila kutumia wire cable kwa glass maalum ambayo unaweza ukaiweka chini ya vifaa hivyo

UNAWEZA KUZITAZAMA VIDEO HAPO CHINI ILI UELEWE KWA KINA

VIDEO 1


VIDEO 2


VIDEO 3


VIDEO 4