TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Tazama Drake Alichomfanyia Rihanna.Lakini Hii Ni Baada Ya Rihanna Ku......

Did Drake and Rihanna have a social media fallout?

Rapper Drake ameamua kum-Unfollow Ex wake Rihanna katika mtandao wa Instagram ambapo kwa upande wa Rihanna amefanya hivyo pia.
Kwa upande wa Rihanna May 3 akiwa katika kucover jarida la Vogue alifunguka na kusema,"Hatuna urafiki wowote kati yetu wakati huu na sio maadui pia".


EmoticonEmoticon