Wanna party with Cardi?
Hatua ya Cardi B kutangaza ujio wa Album yake ni baada ya ushindi mkubwa alioupata katika ugawaji waTuzo za iHeart Radio na kutoka na ushindi wa Tuzo 2 ya Best New Artist pamoja na Best New Hip Hop Artist.
Ametoa tangazo hilo wakati akiwa anapokea tuzo ya Best New Artist na kusema,"My album will be coming in April, okurr!” aliiambia crowd. “Yes, sir, April. Stay tuned,
Album ya Cardi B ilikuwa itoke toka mwaka jana 2017 but haikutoka.Right now tunao muda kamili.3 things.— iHeartRadio (@iHeartRadio) March 12, 2018
1. @iamcardib is the best.
2. she revealed her albums coming out in April
3. she just won #BestNewArtist#iHeartAwards2018 pic.twitter.com/LbUFXfggEp
Keep In-touch
EmoticonEmoticon