Hii ni Baada ya ugomvi wao wa muda mrefu bt right now wawili hao wana maelewano mazuri kila mmoja kutokana na video moja iliyochukuliwa siku ya jumapili March 11.
Moja kati ya jambo lililoshangaza sana mashabiki ni kuhusiana na wawili hao hawakuwa na mahusiano mazuri mwaka jana kutokana na Weezy alipompa kauli chafu jukwaani, na kauli yake pia ya kusema kwamba Baby sio mmoja kati ya wanafamilia wake.@LilTunechi & @BIRDMAN5STAR HUG DURING MIAMI REUNIONhttps://t.co/lNnZ4fsCXP pic.twitter.com/yxia2rJ2JV— Mulla Star (@mullastar255) March 12, 2018
But Few Days ago Baby alifanya Interview na kusema kwamba Mwaka huu lazma ataachia Carter V
EmoticonEmoticon