TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Kituo Kikubwa Duniani Cha BET Wampongeza Diamond Platnumz Kwa Album Yake

Kituo cha kimataifa cha Black Entertainment TelevisionBET ‘ kimetoa pongezi kwa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya album yake mpya ya ‘A Boy From Tandale’ kuingiza nyimbo tano zinazosikilizwa zaidi kwenye mtandao wa iTunes nchini Burkina Faso.


Kupitia account ya BET ya Twitter wammetoa pongezi hizo kwa kuandika,"Congratulations @diamondplatnumz for having the first 5 songs on the Burkina Faso iTunes Top Songs list #winning"


Album ya Diamond imetokea kuwa na matokeo ya mauzo mazuri ndani na nje ya Tanzania,ikiwemo

KENYA

NAMIBIA

MALAYSIA

OMAN







EmoticonEmoticon