TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Dj Khaled Afunguka Jina La Album Yake Mpya Mwaka 2018 (VIDEO)

DJ Khaled has another one on the way.

March 2 kama alivyoahidi Dj Khaled siku ya February 26 kwamba Leo atatoa jina la Album yake mpya kwa mwaka 2018,ambapo ametimiza ahadi hiyo.

Kupitia account yake ya Tweeter ameweka video inayonyesha jina la ngoma inayoitwa Top Off," aliyomshirikisha FutureJay-Z na kuweka Herufi B ambapo watu wengi wame guess itakuwa inasimama badala ya Beyonce.
Ngoma ya Top Off itakuwa available Siku ya Leo March 2,
Ambapo katika account ya Future ya Twitter ameandika,"TOP OFF!! U READY B' 🦅"

Album ya 11 Ya Dj Khaled inakwenda kwa Jina La "Father Of Asahd".ambapo Asahd ni jina la mwanaye. 


EmoticonEmoticon