TUMIA BIDHAA BORA ZA AZAM BAKHRESA

Wizkid Afunguka Live Kuhusiana Na Album Mwaka 2018 (VIDEO)

Msanii Toka Nigeria Wizkid ameonyesha kuupania mwaka 2018 na kuahidi kufanya mabadiliko katika huu mwaka tofauti na mwaka jana ambao hakuachia album bt aliachia
Mixtape ambayo iliweza ku land mpaka kwenye chart za Billboard na ilikuwa imeshirikisha mastaa wakubwa ambapo kwa upande wa wengine waliichukulia uzito wake kama album

Katika mahojiano Wizkid amefunguka na kuongelea kuhusiana na Album yake na kusema kwamba,"2018 No more Talk,Wizkid album is coming soon"

Itazame Video akifunguka.  
A post shared by HipTv (@officialhiptv) on

But January 9 Wizkid alitoa update za Album kwa mwaka huu katika mtandao wake wa Twitter baada ya kuulizwa na shabiki.



EmoticonEmoticon