Jarida maarufu duniani la Biashara Forbes wametoa list ya wanamuziki wa kike wanaoingiza mkwanja mferu katika game ya music na katika Deals nyingine walizo sign zinazowaingizia mkwanja
Beyonce amefanikiwa kukamata nafasi ya kwanza akiingiza kiasi cha Dola $105 Million ikiwa inachangiwa na mauzo ya Album yake ya Lemonade pamoja na Tour yake ya Formation ambayo ilimwingizia mkwanja mrefu.
Adele amefanikiwa kukamata nafasi ya pili kwa kuingiza kiasi cha Dola $69 Million kwa mauzo mazuri ya Album yake ya 25 pamoja na Tour yake.Beyoncé is the highest-paid woman in music this year https://t.co/uTY2QVI6zf pic.twitter.com/BxFqLTGODt— Forbes (@Forbes) November 20, 2017
Taylor Swift amekamata nafasi ya 3 kwa kuingiza kiasi cha Dola $ 44Million akiwa anaishukuru Album yake ya Reputation mpya iliyofanya vizuri sokoni kwa muda mfupi na imesemekana angekuwa ameshafanya Tour kungekuwa na uwezekano wa kukamata nafasi ya 1
TAZAMA FULL TOP 10 HAPO CHINI
1. Beyoncé – $105 million
2. Adele – $69 million
3. Taylor Swift – $44 million
4. Celine Dion – $42 million
5. Jennifer Lopez – $38 million
6. Dolly Parton – $37 million
7. Rihanna – $36 million
8. Britney Spears – $34 million
9. Katy Perry – $33 million
10. Barbra Streisand – $30 million
2. Adele – $69 million
3. Taylor Swift – $44 million
4. Celine Dion – $42 million
5. Jennifer Lopez – $38 million
6. Dolly Parton – $37 million
7. Rihanna – $36 million
8. Britney Spears – $34 million
9. Katy Perry – $33 million
10. Barbra Streisand – $30 million
EmoticonEmoticon